Kilichoweka rekodi kwenye sherehe
hiyo ni pamoja na vinywaji na misosi ambayo waalikwa walikula na kunywa
hadi wakasaza huku mama mlezi wa wasanii, Mama Loraa akivua saa yake ya
mkononi ya dhahabu na kumpa mtoto huyo ambaye alikuwa akilia.
Baadhi ya mastaa waliotinga ni pamoja na Kajala Masanja, Halima Yahya ‘Davina’, Salome Urassa ‘Thea’, Sabrina Rupia ‘Cathy’, Mama Loraa, Zubery Mohamed ‘Niva’, Jimmy Mafufu, Herieth Chumila na wengine wengi ambao walifanya sherehe kufana vilivyo ambapo walikula na kunywa hadi baadhi yao wakawa ‘bwi’
Baadhi ya mastaa waliotinga ni pamoja na Kajala Masanja, Halima Yahya ‘Davina’, Salome Urassa ‘Thea’, Sabrina Rupia ‘Cathy’, Mama Loraa, Zubery Mohamed ‘Niva’, Jimmy Mafufu, Herieth Chumila na wengine wengi ambao walifanya sherehe kufana vilivyo ambapo walikula na kunywa hadi baadhi yao wakawa ‘bwi’
0 Comments