Mbunge wa Jimbo La Mikumi ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Kudumu ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. DENNIS LONDO,Wiki iliyopita tarehe 10/02/2024 siku ya Jumamosi, alikabidhi gari la wagonjwa (Ambulance) kwa wananchi wa kata ya MALOLO jimbo la Mikumi Mkoani Morogoro.
Bada ya Wananchi kulipuka kwa furaha katika mapokezi hayo Mbunge huyo aliwasisitiza kuwa yote kwa yote anaendelea kuwatumikia na kuwawakilisha lakini mwisho alisisitiza zaidi anamshukuru Rais Samia kwa kuendelea kuwaletea fedha za maendeleo wananchi katika sehemu Mbalimbali na yeye anampa Moja Tu```Asante Rais wetu mpendwa Mhe, SAMIA HASSAN.``` 🙏🙏
0 Comments