Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka (leo) Jumamosi 23 April 2022 amekutana na kufanya kikao cha pamoja na kisha kushiriki iftar na wasanii na mbali mbali nchini Tanzania, katika hoteli ya Golden Tulip Jijini Dar es Salaam.
Katibu wa CCM Itikadi na Uenezi Ndg.Shaka Hamdu Shaka akiwa na Msanii Maarufu Wema Sepetu leo baada ya kushiriki na wasanii mbalimbali Iftar aliyowaandalia wasanii hao katika hotel ya Golden Tulip iliyopo jijini Dar es Salaam.
0 Comments