Aidha katika hotuba yake hiyo Rais Samia amemuagiza waziri wa nishati Mhe January Makamba kutoa ufafanuzi bungeni kesho juu ya hatua zitakazochukuliwa na katika kupunguza bei ya mafuta na kuwasaidia wananchi kupunguza ukali wa maisha ambapo Rais Samia amesema gharama hizo zitashuka kuanzia tarehe 01/06/2022.
Hizi ndizo Njia 16 za Kuondoa Sumu Mbalimbali Mwilini...!!!
-
Mwili unaweza kupatwa na sumu au takataka zisizohitajika na mwili kwa namna
mbili, ama kupitia mazingira tunayoishi (viwanda, migodi nk) au kupitia
vy...
1 month ago
0 Comments