Ticker

10/recent/ticker-posts

Simanzi:Mtangazaji Gadner G.Habash wa Clouds Afariki Dunia

 

Mtangazaji Mkongwe wa CloudsFM Gardner G. Habash amefariki dunia asubuhi ya leo katika Hospitali ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) alikokua amelazwa kwa siku kadhaa akipatiwa matibabu. 

Radio Clouds FM tayari imebadilisha playlist yake kwa kuanza kupiga nyimbo za maombolezo kufuatia msiba huo. 

Masama Blog  itaendelea kukupa taarifa zaidi kuhusu msiba huu, Pumzika kwa amani my Brother G Habash! 🙏🏿🙏🏿

SOMA UJUMBE WA RAFIKI  WA KARIBU WA GADNER KINJE KINGUNGE NGOMBALE MWIRU ALICHOANDIKA KUHUSU GADNER


Post a Comment

0 Comments