Ticker

10/recent/ticker-posts

Mume Ampiga Stop Koletha Kucheza Filamu

Mume Ampiga  Stop Koletha Kucheza Filamu

MSANII wa filamu za Kibongo, Koletha Raymond anadaiwa kupigwa stop kucheza filamu na mumewe Temba ndiyo maana amejikita kwenye mambo mengine kwa sasa.

Chanzo kilieleza kwamba kutokana na tabia za baadhi ya wasanii wa kike kutojiheshimu hata kama wakiwa kwenye ndoa, mume wa Koletha ameamua kumpiga stop kucheza filamu ili kulinda ndoa yao isije kukumbwa na kimbunga kwani ndoa nyingi za mastaa zimekuwa hazidumu.