Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Bw. Gerald Kusaya akichangia hoja wakati wa kikao cha kujadili Bajeti ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome Jijini Dodoma.
Baadhi ya washiriki katika kikao hicho ambao ni watumishi wa ofisi ya mamlaka ya udhibiti wa dawa za kulevya wakimsikiliza na kushiriki mjadala huo wa bajeti uliofanyika chini ya Kamishna Gerald Kusaya pamoja na Waziri Dkt. Pindi Chana.
0 Comments