Ticker

10/recent/ticker-posts

Prof Joyce Ndalichako Aibuka Kidedea Kura za Maoni CCM Jimbo la Kasulu Mjini

Prof Joyce Ndalichako ameshinda katika kura za maoni ndani ya CCM kuwania Ubunge wa Kasulu Mjini kwa kupata kura 405, akifuatiwa na Daniel Nsanzugwanko aliyepata kura 80 kati ya 501