Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti ameibuka kidedea katika kura za maoni Jimbo la Misungwi .
Mnyeti ameongoza kwa kura 406 akifuatiwa na aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo Charles Kitwanga aliyepata kura 260
Copyright (c) 2022 Masama Blog All Right Reserved