Ticker

10/recent/ticker-posts

UTAMBULISHO

 Balozi wa Tanzania nchini Kenya Dkt . Pindi Chana akiwasilisha hati za utambulisho ofisi za Umoja wa Mataifa Nairobi, Kenya kuwa mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi (UN Habitat) na Mazingira (UNEP).Kushoto ni Maimunah Mohd Sharing,Mkurugenzi Mtendaji, UN-Habitat.



from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2qCxcF3
via

Post a Comment

0 Comments