Ticker

10/recent/ticker-posts

SPIKA NDUGAI AFUNGA MAONESHO YA WIKI YA ASASI ZISIZO ZA KISERIKALI 2019 JIJINI DODOMA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Wabunge, Viongozi mbali mbali wa kiserikali na Viongozi kutoka asasi mbali mbali zisizo za kiserikali baada ya kufunga maonesho ya wiki ya asasi zisizo za kiserikali 2019, kushiriki dhifa ya pamoja na ugawaji wa tuzo kwa asasi zilizofanya vizuri leo katika hoteli ya Morena Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na wafanyakazi wa asasi zisizo za kiserikali wakati akifunga maonesho ya wiki ya asasi zisizo za kiserikali 2019, kushiriki dhifa ya pamoja na ugawaji wa tuzo kwa asasi zilizofanya vizuri leo katika hoteli ya Morena Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa pili kulia) akiongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa Wajibu, Ndg. Ludovick Utouh kwa ajili ya kufunga maonesho ya wiki ya asasi zisizo za kiserikali 2019, kushiriki dhifa ya pamoja na ugawaji wa tuzo kwa asasi zilizofanya vizuri tukio lililofanyika leo katika hoteli ya Morena Jijini Dodoma. Kuanzia kushoto ni Rais wa asasi zisizo za kiserikali, Ndg. Stigma Tenga na Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mhe. Pamela O’Donnell.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akipokelewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Wajibu, Ndg. Ludovick Utouh alipowasili kwa ajili ya kufunga maonesho ya wiki ya asasi zisizo za kiserikali 2019, kushiriki dhifa ya pamoja na ugawaji wa tuzo kwa asasi zilizofanya vizuri tukio lililofanyika leo katika hoteli ya Morena Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akigawa tuzo ya Mshindi wa Jumla kutoka Femina, iliyopokelewa na Mkurugenzi wa Habari wa Shirika hilo, Ndg. Amabili Batamula, kwa asasi zisizo za kiserikali wakati akifunga maonesho ya wiki ya asasi zisizo za kiserikali 2019, leo katika hoteli ya Morena Jijini Dodoma. Kushoto ni Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mhe. Pamela O’Donnell na kulia ni Rais wa asasi zisizo za kiserikali , Ndg. Stigma Tenga.


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/36XroGK
via

Post a Comment

0 Comments