Ticker

10/recent/ticker-posts

SPIKA JOB NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA JIJINI DODOMA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Ndg. Mathias Kabunduguru alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Ndg. Mathias Kabunduguru alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Ndg. Mathias Kabunduguru alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akisalimiana na Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Ndg. Mathias Kabunduguru alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) katika picha ya pamoja na Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Ndg. Mathias Kabunduguru alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2D89za3
via

Post a Comment

0 Comments