Ticker

10/recent/ticker-posts

Benki ya NMB yakabidhi gawio la Shilingi Bilioni 10.48 kwa Serikali

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea mfano wa hundi ya gawio la Shilingi Bilioni 10.48 kwa Serikali kutoka kwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurungezi wa Benki ya NMB - Margaret Ikongo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NMB - Ruth Zaipuna (kulia) katika hafla ya upokeaji wa gawio na michango kwa Serikali iliofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma mapema leo. Wakishuhudia kutoka kushoto ni Waziri wa Fedha na Mipango – Dkt. Philip Mpango na Spika wa Bunge la Tanzania -Job Ndugai.
Wageni waalikwa mbalimbali wakifuatilia yaliokuwa yakijiri kwenye hafla hiyo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani a Dkt John Pombe Magufuli,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kupokea gawio na michango kutoka katika Taasisi, Makampuni na Mashirika ya Umma hafla,hiyo imefanyika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma leo.


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2XLXkcL
via

Post a Comment

0 Comments