Wananchi wa Tandahimba leo wamepiga kura kuchagua kiongozi wa Kitongoji na wajumbe mchanganyiko katika Khali ya utulivu na amani
Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Tandahimba Ahmada Suleiman amesema wanachi wamejitokeza katika kata zote mbili ambapo uchaguzi umefanyika
"Katika vituo vyote ambavyo nimetembelea wananchi wamejitokeza kushiriki kupiga kura,na zoezi Hilo limefanyika kwa amani na utulivu Hadi Sasa," alisema Suleiman.
Afisa Mtendaji wa kata ya Nanhyanga Zamaradi akitimiza haki yake
Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Tandahimba Ahmada Suleiman
Wananchi wa Kijiji Cha Mlingano kata ya Nanhyanga wakisubiri kupiga kura
Wananchi wa Kijiji chaDodoma kata ya Nanhyanga wakisubiri kupiga kura
Wananchi wa kiwanjani kata ya Tandahimba wakisubiri kupiga kura
from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2KMOaHW
via
0 Comments