Ticker

10/recent/ticker-posts

Tandahimba yafanya uchaguzi kwa amani

Wananchi wa Tandahimba leo wamepiga kura kuchagua kiongozi wa Kitongoji na wajumbe mchanganyiko katika Khali ya utulivu na amani

Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Tandahimba Ahmada Suleiman  amesema wanachi wamejitokeza katika kata zote mbili ambapo uchaguzi umefanyika

"Katika vituo vyote ambavyo nimetembelea wananchi wamejitokeza kushiriki kupiga kura,na zoezi Hilo limefanyika kwa amani na utulivu Hadi Sasa," alisema Suleiman.
 Afisa Mtendaji wa kata ya Nanhyanga Zamaradi  akitimiza haki yake
 Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Tandahimba Ahmada Suleiman
 Wananchi wa Kijiji Cha Mlingano kata ya Nanhyanga wakisubiri kupiga kura
 Wananchi wa Kijiji chaDodoma kata ya Nanhyanga wakisubiri kupiga kura
Wananchi wa kiwanjani kata ya Tandahimba wakisubiri kupiga kura


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2KMOaHW
via

Post a Comment

0 Comments