Ticker

10/recent/ticker-posts

RAIS WA UGANDA ALIVYOHITMISHA ZIARA YA SIKU TATU NCHINI

Mhe. Makamu wa Rais akiagana na Mhe. Rais Museveni huku Mama Janeth Museveni akishuhudia

Mhe. Makamu wa Rais akiagana na Mama Janeth Museveni 
Mhe. Rais Museveni akiagana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Kabudi 
Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni akizungumza na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kabla ya kuhitimisha ziara yake ya siku tatu nchini kuanzia tarehe 5 hadi 7 Septemba 2019. Wakati wa ziara hiyo pamoja na mambo mengine, Mhe. Rais Museveni kwa pamoja na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli walifungua Kongamano la Kwanza la Biashara kati ya Tanzania tarehe 6 Septemba 2019. 
Mhe. Rais Museveni na Mhe. Makamu wa Rais wakiendelea na mazungumzo yao huku Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi akifuatilia. 
Waziri wa Elimu wa Uganda ambaye pia ni Mke wa Rais Museveni, Mhe. Janeth Museveni (kushoto) akiwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Joyce Ndalichako wakati wa mazungumzo kati ya Mhe. Rais Museveni na Mhe. Makamu wa Rais 
Mhe. Rais Museveni akiagana na Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Dkt. Aziz Mlima 
Mhe. Rais Museveni akifurahia burudani ya kikundi cha ngoma kilichkuwepo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kumuaga Rais huyo 
Mhe. Rais Museveni na Mhe. Makamu wa Rais wakiangalia moja ya kikundi cha ngoma wakati wa kumuaga Mhe. Rais Museveni
Mhe. Makamu wa Rais akiwaongoza viongozi wengine kupunga mkono wakati ndege iliyombeba Rais wa Uganda, Mhe. Museveni ikiondoka nchini kurejea Uganda 
Mkurugenzi na Mkuu wa Itifaki, Balozi Grace Martin akimsikiliza Balozi wa Uganda nchini, Mhe. Richard Kabonero mara baada ya kukamilisha hafla ya kumuaga Mhe. Rais Museveni kukamilika 
Wadau mbalimbali waliojitokeza kumuaga Rais wa Uganda Mhe. Museveni. 
Wadau wengine 
Wadau kutoka Jeshini nao walikuwepo uwanjani hapo 
Wadau kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Sekta zingine wakifurahia kukamilisha kazi salama 


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2HSCWjC
via

Post a Comment

0 Comments