Ticker

10/recent/ticker-posts

DKT.ABBAS ATEMBELEA HOSPITALI YA MUHIMBILI NA KITUO CHA RADIO CITY FM

Dkt. Patrick akionesha mfumo unaotumika katika Hospitali ya Taifa
ya Muhimbili wa kuingiza majina na maelezo ya wagonjwa na mpango wa
kuwahudumia kupitia kompyuta.
Mtaalam wa kutumia CT scan mashine akielezea jinsi mashine hiyo
inavyofanya kazi na idadi ya watu inayohudumia kwa siku katika Hospitali
ya Taifa Muhimbili leo jijini Dar es Salaam.
Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbas akifafanua jambo
katika ziara yake ya kutembelea kituo cha Radio City Fm, kinachomilikiwa
na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Itifaki, Uhusiano na Umma, Gaston
Makwembe akifafanua jambo katika ziara iliyofanywa na Msemaji Mkuu
wa Serikali Dkt. Hassan Abbas ya kutembelea kituo cha Radio City Fm,
kinachomilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.
Dkt. Hassan Abbas akifafanua jambo katika kitengo cha utalii cha
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.
Dkt. Hassan Abbas akiwafafanulia jambo Madaktari wa Hospitali ya
Taifa ya Muhimbili leo Jijini Dar es salaam.
Dkt. Hedwiga Swai akielezea mfumo wa matumizi ya mashine ya
Imaging Resonance Magnetic (IMR) katika chumba maalum cha uchunguzi
wa magonjwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, leo Jijini Dar es
Salaam.


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2ZCk3fx
via

Post a Comment

0 Comments