Ticker

10/recent/ticker-posts

Arsenal yapanda hadi nafasi ya nne


Klabu ya Arsenal imeibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya klabu ya Southampton kwenye mchezo wa Ligu Kuu Uingereza.

Magoli ya Arsenal yalifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 6 na jingine likifungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 17.

Kwa ushindi  huo unaifanya kalabu hiyo kupanda hadi nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi hiyo.

from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2SUynwy
via

Post a Comment

0 Comments