Kwa mijubu wa tarifa iliyotolewa na kamanda wa polisiRukwa tukio la kwanza lilitokea katika kijiji cha Msia wilayan Sumbawanga.Tukio la kwanza Theresia suleimani aliuwawa na mme wake aitwaye Patric kipesa kutokana na wivu wa kimapenzi Alisema juzi kwenye majira ya saa moja asubuhialisema mtuhumiwa huyo alimuua mke wake kwa kumkata na shoka kisha naye kujia kwa kujinyonga.Ni baada ya mtuhumiwa kuhisi mke wake anamahusiano ya kimapenzi na mwanaume mwengine kupelekea kufanya mauaji hayo.
Hizi ndizo Njia 16 za Kuondoa Sumu Mbalimbali Mwilini...!!!
-
Mwili unaweza kupatwa na sumu au takataka zisizohitajika na mwili kwa namna
mbili, ama kupitia mazingira tunayoishi (viwanda, migodi nk) au kupitia
vy...
1 month ago