“Kwa
upande wangu mimi kuna wanaume wa 5 ambao huwa nasemaga ni mastaa
kupitiliza, yaani naamanisha akipita mtaani ni shida na kila mtu lazima
ajue msanii kapita.. (1)Mzee majuto (2)Mboto
(3)Kingwendu(4)Joti(5)Jacob……Hawa watu kwanza wanaongoza sana kupendwa
na watoto yaani wakipita mtaani ni shida.aisee Mungu awabariki....na
wewe nitajie wako 5 unaona wakipita mtaani kwako inakuwaga ni
hekaheka”-Shamsa aliandika mtandaoni.
Hebu na sisi tuwataje wetu.