Ticker

10/recent/ticker-posts

MSANII MKUBWA AFUNGUKA:ASEMA HAKUNA STAA MWENYEUMBO ZURI KAMA MIMI..MUONE HAPA UMPE MAKSI ZAKE

MZAZI mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally amesema kuwa hakuna staa yeyote hapa Bongo mwenye figa kama yake ya kuweza kuvaa ‘bikini’ na kujiachia kama yeye.
Mzazi mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally.
Akifunguka na Centre Spread, Faiza alisema kuwa wapo mastaa wengi wembamba lakini maumbo yao hayana mvuto hasa wakivaa bikini huku akitolea mfano wa Nancy Sumari na Jacqueline Patrick.
“Ukitaka kujua kama una umbo zuri tena la kimataifa wewe jaribu kuvaa bikini uone, ndiyo utajijua ni mrembo kiasi gani. Najitambua navutia kiasi gani nikivaa bikini,” alisema Faiza.