hivi ndicho alichokiandika msanii lulu michael kupitia mtandao wako
wa jamii wa makubwa haya blog kasema lulumichael umenikuna kipele
changu, caption flani hivi amaizingggggggggg,......... Day well spent
sura Ya utaratibu NA macho Ya Aibu Sina uhakika nayo sana Alafu wale
walopanic ni kiguo changu...am soleeeeeee I can't Live 4 all of you,I
hope hamjaniona Ya kanisani nimevaa beach or Ya beach nimevaa
barabarani,Najua nivae nn na wapi...am soleeeee na Haya macho Yangu Ya
Aibu yanasema soleee pia..! Tulale salama Mnapenda tuonekane tunapenda
kuongeanatamani ningewezaga kunyamaza Sema huwa Nahisi kama napungua
kilo hv
na hii hapo juu ndio nguo iliyoleta mzozo kwa baadhi ya mastaa kwa kumsema lulu na mashabiki kiujumla..