Mtoto wa msanii
wa filamu na Mkurugenzi wa K. Entertainment, Kajala Masanja, Paula Paul
ukipenda muite Paulitte. Sasa hivi anaoneka amekuwa binti mkubwa na
mrembo zaidi….Mbali na kuwa mama yake ni staa mkubwa kwa upande wa Bongo
Movie, baba yake , P. Funk aka Majani pia ni mtayarishaji wa music
mkongwe na mwenye mafanikia makubwa kwenye upande wa Bongo Flava. Paula
japokuwa bado yupo shule lakini maisha yake ya kuwa karibu sana na mama
yake kwa ujumla yanamfanya ajuane na ajulikane sio tu mastaa wengi bali
hadi kwa jamii kwa ujumla…..Tunaamini huyu nae atakuwa staa wa kesho
….Zicheki badhi ya picha zake hapo chini…
With my Brothers in Leadership...
-
Asanteni Kaka Zangu,naendelea kujifunza kwenu.
(Mimi,DC Simalenga na DC Mchopanga)
1 week ago