Ticker

10/recent/ticker-posts

NOMAAA:MUONE HUYU BINTI WA MSANII KAJALA, PAULA ANAZIDI KUWA MREMBO ZAIDI, CHECK PICHA ZAKE HAPA

STAA WA KESHO: Binti wa Msanii Kajala, Paula Azidi Kuwa Mrembo
Mtoto wa  msanii wa filamu na Mkurugenzi wa K. Entertainment, Kajala Masanja, Paula Paul ukipenda muite Paulitte. Sasa hivi anaoneka amekuwa binti mkubwa  na mrembo zaidi….Mbali na kuwa mama yake ni staa mkubwa kwa upande wa Bongo Movie, baba yake , P. Funk  aka Majani pia ni mtayarishaji wa music mkongwe na mwenye mafanikia makubwa kwenye upande wa Bongo Flava. Paula japokuwa bado yupo shule lakini maisha yake ya kuwa karibu sana na mama yake kwa ujumla yanamfanya ajuane na ajulikane sio tu mastaa wengi bali hadi kwa jamii kwa ujumla…..Tunaamini huyu nae atakuwa staa wa kesho ….Zicheki badhi ya picha  zake hapo chini…
STAA WA KESHO: Binti wa Msanii Kajala, Paula Azidi Kuwa Mrembo 1

STAA WA KESHO: Binti wa Msanii Kajala, Paula Azidi Kuwa Mrembo 2