Ticker

10/recent/ticker-posts

KUMBE YULE ALIYEANDIKA KIINGEREZA CHA KIMBULULA SIYO SHILOLE ‘’ORIJINO’’NI FEKI..HEBU ANGALIA HAPA

Lile wimbi la watu kutumia majina ya mastaa kwenye mitandao ya kijamii likiwa bado linaendelea  kwa kasi. Bongo movies imekutana  huyu anejiita SHILOLE CLASIC.


Akijifanya kuwa yeye ni  Shilole, ambae mwigizaji na mwanamziki maarufu hapa Bongo. Hebu tusaidiane kusoma hii NGELI alioitoa hapa.




Baada ya taarifa hizi kumfikia Shilole mwenye hiki ndicho alichokisema.


Nimetumiwa hii pic na kaka yangu  dully sykes kuhusu hii account fake ya Facebook na najisikia vibaya coz si Mimi na kama unatumia jina langu kama shabiki yangu sawa ila usiandike habari za uongo na zisizoeleweka .ila Nina fanpage tu ya Facebook inayoitwa shilole kiuno na nna account twitter pia inaitwa shilolekiuno.so msidanganyike nje ya majina hayo.nawapenda Sana na tusaidiane kuwaambia na wengine.”


Jamani tubadilike na tuitumie vizuri mitandao hii ya kijamii.Bongo movies.com inakemea tabia hii kwani ina athari kubwa kwa msanii na jamii kwa ujumla.