Lile
wimbi la watu kutumia majina ya mastaa kwenye mitandao ya kijamii
likiwa bado linaendelea kwa kasi. Bongo movies imekutana huyu anejiita
SHILOLE CLASIC.
Akijifanya kuwa yeye ni Shilole, ambae mwigizaji na mwanamziki maarufu
hapa Bongo. Hebu tusaidiane kusoma hii NGELI alioitoa hapa.
Baada ya taarifa hizi kumfikia Shilole mwenye hiki ndicho alichokisema.
“Nimetumiwa hii pic na kaka yangu dully
sykes kuhusu hii account fake ya Facebook na najisikia vibaya coz si
Mimi na kama unatumia jina langu kama shabiki yangu sawa ila usiandike
habari za uongo na zisizoeleweka .ila Nina fanpage tu ya Facebook
inayoitwa shilole kiuno na nna account twitter pia inaitwa
shilolekiuno.so msidanganyike nje ya majina hayo.nawapenda Sana na
tusaidiane kuwaambia na wengine.”
Jamani tubadilike na tuitumie vizuri mitandao hii ya kijamii.Bongo
movies.com inakemea tabia hii kwani ina athari kubwa kwa msanii na jamii
kwa ujumla.
With my Brothers in Leadership...
-
Asanteni Kaka Zangu,naendelea kujifunza kwenu.
(Mimi,DC Simalenga na DC Mchopanga)
1 week ago