Uhusiano na mshindi wa pili wa Miss Tanzania 2013, Latifa Mohamed
wenye miezi tisa sasa, ndio uhusiano mrefu zaidi aliowahi kuwa nao Ben
Pol tangu awe staa ameongea na chanzo makini juu ya mahusiano yake
yaliyopita yalishindwa kudumu kwakuwa wasichana wengi walikuwa na
matarajio makubwa kutoka kwake kwakuwa yeye ni msanii. Sasa hivi tuna
miezi tisa, nadhani ndio the longest relationship, amesema Ben kuhusu
uhusiano na Latifa.
“Unajua nimekutana na watu wa aina tofauti. Nimekutana na watu ambao
labda wanakuwa na expectations kubwa zaidi kuhusu mtu fulani, kwahiyo
akiingia kwenye maisha yako labda kuna vitu ambavyo yeye tayari
alishapicture,labda Ben Pol tutakuwa tunakula bata every weekend,
tunakula bata milioni, tunaenda huku kule everyday. Kwahiyo mtu anaweza
akaja kwenye maisha yako akakuta sio mtu wa hivyo, ni staa ndio lakini
you dont go to clubs
mara kwa mara, you dont do this, you dont do that kama mastaa wengine. Kwahiyo mtu anakuwa disappointed anatoka kwenye maisha yako. Ndio hicho ambacho nimeexperience zaidi kwenye mahusiano yangu yaliyopita.Kwahiyo ukipata mtu ambaye akakuelewa hivyo, inatia moyo kidogo. Ben Pol amesema hata hivyo uhusiano wake na Latifa haujawa rasmi kabisa kwakuwa bado hajaenda kujitambulisha kwao. Lakini at least naweza kusema nina hatua moja katika tano au katika tatu.”
mara kwa mara, you dont do this, you dont do that kama mastaa wengine. Kwahiyo mtu anakuwa disappointed anatoka kwenye maisha yako. Ndio hicho ambacho nimeexperience zaidi kwenye mahusiano yangu yaliyopita.Kwahiyo ukipata mtu ambaye akakuelewa hivyo, inatia moyo kidogo. Ben Pol amesema hata hivyo uhusiano wake na Latifa haujawa rasmi kabisa kwakuwa bado hajaenda kujitambulisha kwao. Lakini at least naweza kusema nina hatua moja katika tano au katika tatu.”