Mwanamuziki wa Nigeria, Yemi Alade.
Lagos, Nigeria
IMEKUWA mtindo kwa mastaa weusi kujichubua ngozi zao na kuzifanya nyeupe. Mmoja wa wanamuziki wa Nigeria, Yemi Alade, amejikuta akisakamwa na shabiki mmoja kwa kutumia mkorogo.
Yemi Alade.
Alipotuma katika mtandao wa Twitter picha mbili za mwanamuziki huyo aliyevuma kwa wimbo wake wa ‘Johnny’ – picha moja ikimwonyesha alipoanza kujikita katika muziki zamani na picha ya sasa ambayo amekuwa mweupe.
Picha hizo zilitumwa Mei 18 mwaka huu.
Hizi ndizo Njia 16 za Kuondoa Sumu Mbalimbali Mwilini...!!!
-
Mwili unaweza kupatwa na sumu au takataka zisizohitajika na mwili kwa namna
mbili, ama kupitia mazingira tunayoishi (viwanda, migodi nk) au kupitia
vy...
1 month ago