Ticker

10/recent/ticker-posts

MAPENZI:SOMA HAPA UMUHIMU KWA KUMRIDHISHA MPENZI WAKO KIMAPENZI

Image result for MAHABA IMAGE
SOMA KWANZA MAELEZO YA HUYU DADA HAPA CHINI

Mimi ni mwanamke ambae nimekuwa kwenye uhusiano kwa muda wa miezi tisa sasa, tangu tumekuwa pamoja nimegundua mpenzi wangu sio mtundu kama ambavyo wanaume wengine hivyo siku moja niliomba anishukie chumvini
na akafanya hivyo bila shida na tangu siku hiyo kila tukitaka kufanya mapenzi lazima anishukie.
Lakini cha kushangaza nikitaka kumshukia yeye anakataa, hasemi kuwa sitaki ila unaona tu anakwepa kwa kuanzisha kitu kingine ambacho kinanifanya nishindwe kumfikia kule chini "


Jibu
-asante kwa swali lako , swala muhimu la kuzingatia ni kuheshimu matakwa yake na kutojisikia vibaya kwa vile hataki umpe mdomo (ajabu kweli wanaume wengi wanapenda kushukiwa lakini kushukia wake/wapenzi wao huo mbinde), huyu wako anahitaji pongezi kwa kujali hitaji lako na kukuridhisha.


Unajua baadhi ya wanaume pia huwa hawajiamini kimaumbile kama ilivyo kwa baadhi ya wanawake, sote tunatambua kuwa swala la kupena midomo huko chini ni "intimate" sana hivyo mtu mpaka anakuruhusu kuweka mdomo au hata kuangalia tu anahitaji kuhakikishiwa kuwa sehemu yake
-inavutia,
-nzuri,
-safi,
-kubwa (hata kama ndogo sema tu kubwa au inakutosha au unaipenda kama ilivyo) mana'ke wanaume ni "insecure" linapokuja swala la uume.

Yaani akijihisi kuwa "mzigo" wake ni mdogo au aliambiwa na mpenzi wake wa awali kuwa "mboo" haifiki popote hata kama sio kweli still mwanaume huwa ana-mind na kupoteza kujiamini kwake.


Sababu ambazo zinaweza kumfanya ahofie kushukiwa

1.huenda hajiamini kuwa uume wake ni mkubwa wa kutoshwa kunyonywa

2.inawezekana kabisa ikawa anahofia kumwaga kabla hujafika popote (kwa wanaume wengi hili ni tukio la aibu sana),

3.labda anajua kuwa uume wake hauvutii kwa vile labda ana ngozi chafu, au makovu/mabaka kutokana na mapele (kumbuka kuna magonjwa ya ngozi na ya zinaa).


Swala muhimu na la kuzingatia ni kuzungumza kuhusiana na jinsi gani ungependa kuonja uume wake, onyesha kuwa unapenda kufanya hivyo zaidi kuliko kurudisha kile anachokufanyia (kulipa), hakikisha unazungumzia hilo wakati mmepumzika tu hamna mpango wa kwenda kungonoana na wakati unaongea jaribu kuweka mkono wako juu ya "mtuno" wa kaptura/suruali yake na kumpapasa.


Jambo lingine muhimu ni kujifunza kusifia maeneo yake hasa "kiungo" chake, njia rahisi ni kuoga pamoja ili iwe rahisi kwako kuuona uume wake, unaweza ukamkanda "full body" lakini kwa kuanzia mapajani akiwa kalala chali kwani akilala kifudi-fudi(lalia tumbo) itakuwa ngumu kwako kumkanda uume wake.


Ikishindikana basi usilazimishe kwani sio lazima, kila mtu anafurahia na kuridhika kivyake sio lazima umfanyie vile anakufanyia wewe.