Ticker

10/recent/ticker-posts

Hawa ndio mastaa waliotajwa kwenye Most Stylish East African Females 2016

Kituo cha runinga cha MTV Base kimeyataja majina ya mastaa wa kike kutoka Afrika Mashariki wanaojulikana kama Most Stylish East African Females.

Mastaa waliotajwa na kituo hicho ni pamoja na Vanessa Mdee (Tanzania), Lupita Nyong’o (Kenya), Zari (Uganda), Juliana Kanyomozi (Uganda),Victoria Kimani (Kenya) na Avril (Kenya).

Wengine waliotajwa ni pamoja na Rosa Ree kutoka lebo ya The Industry inayomilikiwa na Navy Kenzo, Sheebah Karungi (Uganda) na DjEynie (Kenya).