Kituo cha runinga cha MTV Base kimeyataja majina ya mastaa wa kike kutoka Afrika Mashariki wanaojulikana kama Most Stylish East African Females.
Mastaa waliotajwa na kituo hicho ni pamoja na Vanessa Mdee (Tanzania), Lupita Nyong’o (Kenya), Zari (Uganda), Juliana Kanyomozi (Uganda),Victoria Kimani (Kenya) na Avril (Kenya).
Wengine waliotajwa ni pamoja na Rosa Ree kutoka lebo ya The Industry inayomilikiwa na Navy Kenzo, Sheebah Karungi (Uganda) na DjEynie (Kenya).
Hizi ndizo Njia 16 za Kuondoa Sumu Mbalimbali Mwilini...!!!
-
Mwili unaweza kupatwa na sumu au takataka zisizohitajika na mwili kwa namna
mbili, ama kupitia mazingira tunayoishi (viwanda, migodi nk) au kupitia
vy...
1 month ago