Ticker

10/recent/ticker-posts

TAZAMA PICHA ZA HARUSI YA KLEYAH NA MCHUMBA WAKE WA MIAKA 7

f77bcf4a-d3bc-4890-aa16-445930c441dc
Baada ya kuwa katika mahusiano yaliyodumu kwa miaka 7 na kufanikiwa kuweka uhusiano wao nje ya macho ya umma, msanii maarufu wa Bongo Kleyah amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu ambaye pia ni meneja mshirika, Mhandisi Barnabas Ndyanabo mjini Kampala, Uganda Septemba 10, 2016.
Harusi ilifanyika katika hoteli ya kifahari ya Serena. Sherehe hiyo ilibarikiwa na mualiko wa wageni 100 ambao ni watu wa karibu sana wa familia na marafiki.
b963aa54-34d2-45d3-b1b7-f8c8f34be263
Bongo songstress huyo alivalia lulu beaded fascinator na lace Berta vilivyonogesha gauni maalum lililotengenezwa na designer maarufu kutoka nchini Afrika Kusini na lilikuwa kama mermaid silhouette na alivalia viatu vya Bradgley Mischaka.
0dfcc064-ea08-431b-8798-ad5e0d09c935
9edfc912-b1e6-48ed-8ad6-a26ef5b9c007

359f7753-e092-4830-b9e9-5ea3be36b704

3b2f3eb9-8602-4ea6-b00d-89073a4b9c7c

4849a470-e920-4c3e-8373-357dbe14038d