Makala amesema wapenzi na Mashabiki wa nyimbo za injili wakae tayari kwa mapokezi kwani albamu zote mbili zimekamilika na maandalizi yanaendelea vizuri hivyo watapewa taarifa kupitia vyombo vya habari kuhusu uzinduzi rasmi wa kazi hizo zinazosubiriwa kwa hamu na watu wengi.
With my Brothers in Leadership...
-
Asanteni Kaka Zangu,naendelea kujifunza kwenu.
(Mimi,DC Simalenga na DC Mchopanga)
1 week ago
0 Comments