Edna Lameck akiwa na Mtoto wa Marehemu Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli Mhe.Fred Lowassa wakijadili jambo baaada ya kufika nyumbani kwao Masaki kwa ajili ya kuwapa pole kwa kufiwa na baba yao ambapo wengine walioambatana na Edna ni baadhi ya Viongozi wa Hamasa wa UVCCM.Ambapo Edna amesema yeye alimfahamu Lowassa kama Kiongozi Mzalendo na Mchapakazi hivyo Vijana wa UVCCM na Tanzania kwa ujumla wana jambo kubwa la Kujifunza hasa kuenzi yale mema yote toka kwa Marehemu Lowassa kwa maendeleo ya nchi yetu.
With my Brothers in Leadership...
-
Asanteni Kaka Zangu,naendelea kujifunza kwenu.
(Mimi,DC Simalenga na DC Mchopanga)
1 week ago
0 Comments