“Serikali inafanyia kazi hoja za ukaguzi zilizotolewa na CAG na hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya wale watakaothibitika kuwa ni wavunjifu wa sheria na kusababisha upotevu wa fedha za umma bila kujali mkubwa wala mdogo kama alivyoelekeza Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.” – Dkt. Mwiguli Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango
Hizi ndizo Njia 16 za Kuondoa Sumu Mbalimbali Mwilini...!!!
-
Mwili unaweza kupatwa na sumu au takataka zisizohitajika na mwili kwa namna
mbili, ama kupitia mazingira tunayoishi (viwanda, migodi nk) au kupitia
vy...
1 month ago
0 Comments