Ndugu Happiness Kimaro amesema Umoja wa wanawake wa Chama cha Mapinduzi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kupitia umoja wa wanawake wilayani huko wamepokea mchango wa saruji mifuko 20 ikiwa ni mchango kwa ajli ya kujenga ofisi ya katibu wa UWT wilaya ya Hai.Akipokea mifuko hiyo mweneekiti huyo wa Umoja wa Wanawake Wilaya ya Hai Ndugu Happiness Kimaro amesema makabidhiano hayo yalifanyika katika ofisi ya CCM wilaya ya Hai ambapo Ndugu. Happiness Kimaro baada ya makabidhiano hayo alisema,..
''Leo tarehe 4.5.2023 kwa niaba ya umoja wa wanawake ccm wilaya ya Hai nachukua nafasi hii kushukuru mwenyekiti wa UWT mkoa wa Kilimanjaro Mama Elizabeth Minde. Kwa kutusaidia mifumo 20 ya cement kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya katibu wa UWT wilaya. Mwenyenzi mungu akubariki sana pale ulipotoa Mungu akurejeshe..asante sana...''
0 Comments