Biashara zinazolipa na zenye faida ambazo unaweza kuzifanya ukiwa karibu na maeneo ya chuo kwa hapa Tanzania.
1. Biashara Ya Nyumba Za Kupanga
Makazi ni hitaji muhimu sana kwa binadamu, hivyo sehemu ya vyuo wanafunzi watahitaji vyumba kwa ajiri ya kuishi pia wafanyakazi wa chuo nao ni mateja wa vyumba vya kupanga.
2. Biashara Ya Vifaa Vya Kielekitroniki
Vifaa vya kielekitroniki ni pamoja na simu za mkononi, computer, chargers, usb, covers za simu, screen protector, betri za pc au laptops na vingine vingi vitumiavyo umeme ambavyo ni moja ya mahitaji ya wanafunzi.
0 Comments