Ticker

10/recent/ticker-posts

RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA KILELE CHA SHEREHE ZA MIAKA 56 ZA MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBAR MJINI UNGUJA



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipokea salamu ya heshima kutoka katika paredi maalum ya vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa sherehe za maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyofanyika katika uwanja wa Amani Unguja. Januari 12, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ally Mohamed Shein mara baada ya kuwasili katika sherehe za maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyofanyika katika uwanja wa Amani Unguja. Januari 12, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Bi. Mwanamwema Shein mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ally Mohamed Shein mara baada ya kuwasili katika sherehe za maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyofanyika katika uwanja wa Amani Unguja. Januari 12, 2020
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa  na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ally Mohamed Shein wakati maandamano yakipita mbele  katika sherehe za maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyofanyika katika uwanja wa Amani Unguja. Januari 12, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa  na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ally Mohamed Shein wakati paredi ikipita mbele kwa heshima  katika sherehe za maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyofanyika katika uwanja wa Amani Unguja. Januari 12, 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisoma kitabu cha hotuba wakati  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ally Mohamed Shein akihotubia katika sherehe za maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyofanyika katika uwanja wa Amani Unguja. Januari 12, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ally Mohamed Shein baada ya kumalizika kwa sherehe za maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyofanyika katika uwanja wa Amani Unguja. Januari 12, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Waziri mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Edward Lowassa baada ya kumalizika kwa sherehe za maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyofanyika katika uwanja wa Amani Unguja. Januari 12, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Bi. Fatuma Karume mke wa muasisi na Rais wa kwanza  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Hayati Abeid Karume mara baada ya kuwasili katika sherehe za maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyofanyika katika uwanja wa Amani Unguja. Januari 12, 2020
Makomandoo wa jeshi la JWTZ wakionyesha mazoezi ya ukakamavu  mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ally Mohamed Shein wakati wa sherehe za maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyofanyika katika uwanja wa Amani Unguja. Januari 12, 2020
 PICHA NA IKULU


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2Tej9l7
via

Post a Comment

0 Comments