Ticker

10/recent/ticker-posts

IGP SIRRO AKIWA NA KIKOSI CHA KUTULIZA GHASIA MKOA WA SIMIYU


Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akiwa katika picha ya pamoja na Kamanda wa Polisi mkoa wa Simiyu, ACP William Mkonda na askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia mkoani humo wakati akiwa safarini kuelekea mkoani Dodoma. Picha na Jeshi la Polisi.


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2E3g3Yi
via

Post a Comment

0 Comments