Ticker

10/recent/ticker-posts

SIMIYU KUWA NA VIWANDA VICHACHE VITAKAVYOAJIRI MAELFU YA VIJANA

Anasema Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka; Matarajio yetu ni kuwa Mkoa ambao hatutakuwa na maelfu ya viwanda,-Bali Kuwa na Viwanda vichache vitakavyoajiri Maelfu ya Vijana wa Kitanzania- (One Factory Athousand Employees) .

Pichani juuu ni Balozi wa Tanzania nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo akiwa na Mwekezaji ambaye amefika Simiyu kwa ajili ya kuwekeza kiwanda cha Nguo pamoja na kiwanda cha vyombo vya udongo(Sahani,vikombe,Glass nk) viwanda vyote viwili vinatarajia kutoa ajira zaidi ya elfu mbili kwa vijana wa Kitanzania ,pichani Mwekezaji  huyo akikagua eneo atakalojenga viwanda vyake ndani ya mji wa Bariadi) Mwaka 2020-Ni Mwaka wa Kutenda-Tuendelee Kumpa Mungu Nafasi.


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2pqdJad
via

Post a Comment

0 Comments