Ticker

10/recent/ticker-posts

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AHUDHURIA MAULI YA KUZALIWA MTUME MUHAMMAD S.A.W VIWANJA VYA MAISARA SULEIMAN ZANZIBAR

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzin Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akijumuika katika Maulid ya kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume Muhammad S.A.W.yaliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja kushoto kwa Rais (Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khamis Haji Khamis na (kulia kwa Rais) Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Wadi akipiga fatha kabla ya kuaza kwa hafla hiyo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiitikia dua ikisoma na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar.Sheikh.Mahmoud Wadi, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na (kushoto kwa Rais) Kadhi Mkuu wa Zanzibare Sheikh Khamis Haji Khamis na Waziri swa Fedha na Mipango Zanzibar.Mhe Mohammed Ramia Abdulwawa, wakiitikia dua baada ya kumalizika kwa hafla hiyo ua Maulidi ya kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyiuka katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja 9-11-2019

MKE wa Rais wa Zanzibaer Mama Mwanamwema Shein akiidikia dua baada ya kumalizika kwa hafla ya Maulidi ya kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume Muhammad(S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja kulia kwa Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pembe Juma na kushoto Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja Mhe. Marine Thomas Joe. Wakiitikia dua baada ya kumalizika kwa hafla hiyo

SHEIKH Abubakar Said Abubakar kutoka Mji Mkongwe Wilaya ya Mjini Unguja akisoma Dua ya Barzanji wakati wa hafla ya Maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja yaliofanytika jana usiku 9-11-2019.(Picha na Ikulu)


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akikabidhiwa `akikabidhiwa Qasweeda ya Mwaka na Mshauri wa Jumuiya ya Malade Nabii Zanzibar Sheikh. Sherali Champsi, wakati wa hafla ya kuadhimisha Maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad(S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja.(Picha na Ikulu


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2p3gJZO
via

Post a Comment

0 Comments