Ticker

10/recent/ticker-posts

BREAKING NEWZZZZZ: RAIS MAGUFULI ATEUA CAG MPYA

Rais Dkt John Pombe Magufuli leo , Novemba 03, 2019 amemteua Ndugu Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof Mussa Assad

Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Dkt.Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014

Kabla ya uteuzi wa leo, Kichere alikuwa Katibu Tawala Mkoa wa Njombe na awali alishawahi kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/33bRdk1
via

Post a Comment

0 Comments