Ticker

10/recent/ticker-posts

BENKI YA EXIM YAZINDUA MAADHIMISHO YA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA



Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Exim Tanzania, Bw Jaffari Matundu (katikati) akiongea na mmoja wa wateja wa benki hiyo kupitia simu alipotembelea chumba cha mawasiliano kwa wateja (Call centre) cha benki hiyo wakati wa hafla ya Maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine ni pamoja na Mkuu wa Idara ya Amana wa Benki hiyo, Bi Agnes Kaganda (Kushoto)
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Exim Tanzania, Bw Jaffari Matundu (katikati) akiongea na mmoja wa wateja wa benki hiyo kupitia simu alipotembelea chumba cha mawasiliano kwa wateja (Call centre) cha benki hiyo wakati wa hafla ya Maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Exim Tanzania, Bw Jaffari Matundu (katikati) akiongea na mmoja wa wateja wa benki hiyo (wa pili kushoto) alipotembelea tawi la Benki hiyo Makao Makuu wakati wa hafla fupi ya Uzinduzi wa Maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam leo. Pamoja nae ni maofisa waandamizi wa benki hiyo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Exim Tanzania, Bw Jaffari Matundu (katikati) akiongea na mmoja wa wateja wa benki hiyo (kulia) alipotembelea tawi la benki hiyo la Makao Makuu jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja. Pamoja nae ni maofisa waandamizi wa benki hiyo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Exim Tanzania, Bw Jaffari Matundu (alie keti) akipokea zawadi za aina mbalimbali ikiwemo vinywaji baridi kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wa Idara ya huduma kwa wateja wa benki hiyo wakiongozwa na Mkuu wa Idara ya Huduma kwa wateja ya benki hiyo Bw Frank Matoro (Kushoto) wakati wa hafla fupi ya Uzinduzi wa Maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Idara ya Huduma kwa wateja wa benki ya Exim Tanzania wakiwahudumia vinywaji na zawadi nyingine wafanyakazi wa wenzao kutoka benki hiyo wakati wa hafla fupi ya Uzinduzi wa Maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Exim Tanzania, Bw Jaffari Matundu (alievaa koti) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo Tawi la Makao Makuu ya benki hiyo alipotembelea tawi hilo wakati wa hafla fupi ya Uzinduzi wa Maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2pWP793
via

Post a Comment

0 Comments