Ticker

10/recent/ticker-posts

MAKAMU WA RAIS AFANYA ZIARA WILAYANI KAHAMA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimu wanachi wa kata ya Isaka waliojitokeza kwa wingi kumlaki wakati akiwasili wilayani Kahama kwenye ziara ya kikazi. (Picha na Ofisi ya Makamu Rais)
 Matanki mawili ya maji ambayo ni sehemu ya mradi wa upanuzi wa mtandao wa maji ya ziwa Victoria kwenda katika miji ya Kagongwa na Isaka . (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua matanki mawili ya maji ambayo ni sehemu ya mradi wa upanuzi wa mtandao wa maji ya ziwa Victoria kwenda katika miji ya Kagongwa na Isaka kwa gharama ya shilingi blioni 24.72. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimu wananchi wa Kagongwa, wilayani Kahama waliojitokeza kwa wingi kumsalimu.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimu wananchi wa Kagongwa, wilayani Kahama waliojitokeza kwa wingi kumsalimu. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo ya namna mazingira yatakavyoachwa mara baada ya mgodi wa dhahabu wa Buzwagi kufungwa kutoka kwa Meneja wa Mazingira na Ufungaji Mgodi Bi. Rebecca Stephen.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)


Wanafunzi wa Shule ya Sekondari wakicheza ngoma wakati wa kumkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ambaye aliweka jiwe la msingi la ufunguzi wa madarasa la mradi wa TEA na P4R. Mkamu wa Rais yupo wilayani Kahama kwa ziara yenye lengo la kuhamasisha na kukagua shughuli za maendeleo.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)



from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2tKmeeA
via

Post a Comment

0 Comments