Ticker

10/recent/ticker-posts

Vera Sidika 'Amvua Nguo' Otile Brown Baada ya Kuachana

Licha ya kuachana, Vera Sidika na Otile Brown wameshindwa kuachana kiungwana kabisa .Hii ni baada ya Vera kuweka hadharani sms walizokuwa wakichati na Otile ambazo sio nzuri.

“Nakwambia sipendi kufanya mapenzi mara kwa mara, mimi napendelea Romance unitomase kifuani na kuninyonya shingoni na sehemu nyeti. Kiukweli napenda romance kuliko kufanya mapenzi mara kwa mara kwani nakosa hisia unaniumiza, unaponiingilia bila kuniandaa," haya ni baadhi ya maelezo ya moja ya Screenshots alizoweka Vera Sidika akichati na Otile Brown kipindi wakiwa wapenzi.

Vera kwenye screenshot hizo, kuna sehemu anamwambia Otile kuwa, yeye huwa haangalii ukubwa wa maumbile ya mwanaume bali anaangalia performance kitandani, kwani kuna watu wamejaliwa maumbile makubwa ila kitandani Zero.

Hata hivyo, Otile Brown kupitia majibizano hayo alimuuliza Vera kama amepata Bwana mwingine afute meseji zote alizomtumia, akilalamika kuhusu matatizo hayo, lakini Vera alikataa kufanya hivyo akidai kuwa hana mume.

Otile pia kwenye baadhi ya screenshot hizo, alimtaka Vera aache mchezo wa kujichua na angemfanyia vitu hivyo anavyovihitaji kwenye mapenzi.

Utakumbuka August 17, 2018 Vera Sidika alitangaza rasmi kuvunjika kwa mahusiano yake na Otile Brown ikiwa ni siku kadhaa kupita tangu kuonekana kwenye video ya muimbaji huyo unayokwenda kwa jina la Baby Love, hata hivyo walikuja kuachana tena.