Ticker

10/recent/ticker-posts

Aina za Mabinti Na Tabia Zao Katika Mapenzi Kulingana na Maumbo ya Miili Yao.

Inasemekana wadada wana tabia tofauti katika mapenzi kulingana na maumbo ya miili yao:
1. Wasichana wafupi wanaongoza kwa wivu wa mapenzi na kuwajali wapenzi wao
2. Wasichana warefu huwa hawawajali wapenzi wao na hawaogopi mahusiano kuvunjia hawajui
kubembeleza hata kdogo

3. Wasichana wenye DIMPOZ, MWANYA, MATEGE MBINUKO,MAHIPS NA KITEMBE,hawa huongoza kwa kutokuwa WAAMINIFU katika mapenzi
4. Wasichana WANENE huongoza kwa MAPENZI YA KWELI yaani akipenda amependa kweli
5. Wasichana WEMBAMBA hawa huwa ni WABISHI sana na hawa wanaongoza kwa kutendwa!
6. Wasichana wenye NGOZI NYEUSIwanaongoza kwa KUTOA MIMBA na kupenda wanaume warefu na weupe
7. Wasichana weupe wakiongoza kwa kuzalia nyumbani, na hawa weupe weng wao huolewa wakiwa na watoto tayari huku wakipenda kuolewa na waarabu kulko wanaume weusi.
Je kuna kundi jingine unalolijua na tabia zao?