Ommy Dimpoz amekuwa akionesha magari anayomiliki bali kuonesha nyumba zake.Sababu yakutofanya hivyo amedai hapendi maisha yake yajulikane nakutia kionjo cha kumchokono Diamond,Nukuu ''kutangaza unanyumba kumi so what?''Na Diamond ni msanii pekeealiyedai ananyumba kumi anazomiliki.Mahusiano yao kwa sasa yapo mbali mbali toka Ommy kufanya kazi na Wema Sepetu,Ingawa Diamond anashiriki tuzo mbalimbali na kutoa video Ommy hajawahi kumpa sapoti.
Hizi ndizo Njia 16 za Kuondoa Sumu Mbalimbali Mwilini...!!!
-
Mwili unaweza kupatwa na sumu au takataka zisizohitajika na mwili kwa namna
mbili, ama kupitia mazingira tunayoishi (viwanda, migodi nk) au kupitia
vy...
1 month ago