Ticker

10/recent/ticker-posts

KIONGOZI WA TEAM WEMA ,DOUGIE MASTER AMJIBU RAY C...AMPA MAKAVU BALAAH..SOMA UCHOKE MWENYEWE


Baada ya Ray C Kuwashukia Team Wema Sepetu na Kuwapa Vidonge vyao sasa kubwa la maadui Dogiemasta kutoka Instagram ambae ndio mtari wa mbele kumlinda Wema kwa lolote amefunguka haya hapa chini kuhusu RAY C kupitia Instagram:
'Halooooo ya kisoda kinakwangua mpaka karoti...wewe Rayc mala..ya tu utaniambia nini wewe ndio sina kazi ya kuniingizia pesa ila nina kazi halali ambayo imesibitishwa na tbs UMBEA NDIO KAZI YANGUb eti unajitia nakugombanisha na mastaa wenzio hivi wakiitwa mastaa na wewe unatoka staa mla unga kwani mwenzetu wewe nyoka maana unga anakula nyoka staa teja staa tapeli staa mwizi wa wanaume za watu hahaha sijawahi kuona haya huo ustaa wako wa nini Ray c ulikuwa enzi izo now jiite tu rehema maana kwanz upo kama mpila wa ma..vi shapeless usoless pesaless unamadeni mpaka kwenye macho yako afu unajitiaa staa...staa hata kwenye red carpet hawakujui..

Acha kubadili mada lipa pesa za watu tapeli mkubwa wew unamtia wema kwenye mada zako za utapeli yeye ndo anakuchamba au tutolee shobo zako mbinuko sis...na nyie mbwa wengine mnajitia namtengenezea wema maadui mnitolee utumbo wenu sijaomba commnt zenu sawa nyege zenu na miwasho yenu ndo ilowaleta...huyu mijicho akiamua kumchukia wema ni juu yake ila so long as tunajua tupo wengi tunaomkubali sasa kama anaonea wanyonge tumkalie kimya Ray c hukoo kwa mateja wenzenu kwetu wema tu so...hii ni accnt yang yes namtetea wema ila atakaeleta umbea malalamiko toka kwa so called superstaa vijiko tunamtililisha vile vile ...nitoleeni unafki wenu hapa wakichambwa wengine vihere here kucommnt masta nyoko mxiuu wakiwekwa mnao wapenda mnajitia walokole sasa nihivi leo nitakichambisha mpaka kieleweke pesa atatoa au atoi hilo ndo jibu....MM NDO DOUGIEMASTA usipanic kabla sijakupanikisha maana utakimbia mji...halooooo KAOGEEEEEE LAKN HATA UKIOGAA KWENYE MZIKI ULISHA OZA KITAMBO UKANUKA TUKAKUZIKA NA RIP TUMEKUPA SO TUMA REQUEST KWA SIR GOD UKAUMBWE UPYA HAHAHA'