Msanii wa filamu na muziki, Baby Joseph Madaha
Stori: MAYASA MARIWATA
Msanii wa filamu na muziki, Baby Joseph Madaha amesema ana wasiwasi na afya ya mwanaume Mkongo anayefahamika kwa jina la Mwani aliyewahi kuwa mpenzi wa Jacqueline Wolper.
Stori: MAYASA MARIWATA
Msanii wa filamu na muziki, Baby Joseph Madaha amesema ana wasiwasi na afya ya mwanaume Mkongo anayefahamika kwa jina la Mwani aliyewahi kuwa mpenzi wa Jacqueline Wolper.
Akizungumza na
Ijumaa hivi karibuni, Baby Madaha alisema, hofu yake hiyo inatokana na
namna mwanaume huyo anavyotapanya pesa huku akitangaza dau kubwa ili
kuwapata mastaa wa kike.
Mkongo anayefahamika kwa jina la Mwani aliyewahi kuwa mpenzi wa Jacqueline Wolper.
“Kimsingi mimi nina wasiwasi na afya yake, asije akawa anataka kutumaliza. Mimi simhitaji hata kama ana mamilioni yake. Hofu yangu ni hii tabia yake ya kutaka kutupitia sisi mastaa, wanaokubali kuwa naye eti kisa ana mkwanja nawaonea huruma,” alisema Baby Madaha
“Kimsingi mimi nina wasiwasi na afya yake, asije akawa anataka kutumaliza. Mimi simhitaji hata kama ana mamilioni yake. Hofu yangu ni hii tabia yake ya kutaka kutupitia sisi mastaa, wanaokubali kuwa naye eti kisa ana mkwanja nawaonea huruma,” alisema Baby Madaha