Hii ni moja ya mikutano ya hadhara ambayo amekuwa akiifanya Ndugu Chongolo ikiwa ni mwendelezo wa ziara zake za kukagua na kukiimarisha chama cha mapinduzi kuazia ngazi ya Shina na tayari mikutano kama hii imeshafanyika katika mikoa ya Dar es Salaam,Tanga,Iringa,Kilimanjaro,Manyara,Dodoma na kwingineko ambapo Moja ya jukumu kubwa analofanya Chongolo ni kuwasisitiza na kutoa maelekezo kwa watendaji wa serikali ya kusikiliza na kuzitatua kero za waananchi kwa wakati kama iliyoainishwa katika ilani ya CCM.
Hizi ndizo Njia 16 za Kuondoa Sumu Mbalimbali Mwilini...!!!
-
Mwili unaweza kupatwa na sumu au takataka zisizohitajika na mwili kwa namna
mbili, ama kupitia mazingira tunayoishi (viwanda, migodi nk) au kupitia
vy...
1 month ago
0 Comments