Kamishna Jenerali wa Magereza( wa Kwanza kulia) akikagua shamba la mahindiambalo liko katika hatua za mwisho za kuvunwa la gereza Kitengule.
Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike(kushoto) akikagua ghala la kuhifadhia chakula cha wafungwa Gereza Kitengule alipotembelea gereza hilo leo Julai 11, 2019.
Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike(wa pili toka kulia) akiangalia moja ya mashine maalum inayotumika katika upandaji wa mbegu katika mashamba ya Gereza Kitengule alipotembelea gereza hilo leo Julai 11, 2019(Picha zote na Jeshi la Magereza)
from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2SdMBVD
via
0 Comments