Ticker

10/recent/ticker-posts

MASTAA ALI KIBA NA DIAMOND PLATNUMZ WALETA KASHESHE NCHINI KENYA


Rapper King Kaka wa Kenya, amewatupia lawama mapromota wa nchini humo kwa kuwalipa fedha nyingi wasanii wa nje kwenye show na kuwapa kiduchu wasanii wa ndani.

Ametoa malalamiko hayo kwenye mtandao wa Facebook na kuwatolea mfano Diamond na Alikiba ambao wamekuwa wakilipwa mamilioni ya shilingi kila wakitumbuiza nchini humo.

“Sazile Alikiba anakam na analipwa hiyo 2million sio mbaya, Diamond anakam analipwa hiyo 2 Million, Na Nani pia anakam analipwa 2 Million, na Nani pia 2 million but on the same performance utaona wameweka legends wa hapa Kenya na trust me wamepewa 300k, 400k ata unaweza Pata mi 100k (shame, what a shame) sahizo bado yule amekupa show anataka cut yake which sio mbaya but what do fans expect. Hii kitu yote iko connected,” aliandika Rabbit.

Amedai kuwa wasanii wa Kenya hawapewi heshima wanayostahili na hivyo kudidimiza muziki wa nchi hiyo.

Soma post yake nzima hapa:

'Respect your elders, I started doing this $**t while you were still in diapers' I think Nameless akiandika hiyo line alikuwa ananiongelea na hawa marapper wote wanajiita Kings na Ma Queens na hii Generation yote mpya ya musicians. But kile mimi inaniuma ni Kitu inaitwa RESPECT ama RESPEK, just put some respect on these guys (kama sijakuweka kwa list jiweke tu ama mafans wakuweke).

Sazile Alikiba anakam na analipwa hiyo 2million sio mbaya, Diamond anakam analipwa hiyo 2 Million, Na Nani pia anakam analipwa 2 Million, na Nani pia 2 million but on the same performance utaona wameweka legends wa hapa Kenya na trust me wamepewa 300k, 400k ata unaweza Pata mi 100k (shame, what a shame) sahizo bado yule amekupa show anataka cut yake which sio mbaya but what do fans expect. Hii kitu yote iko connected.

Fact 1: pay an Artiste 100k unaexpect aende South Africa kushoot video (yet by the way mimi uona ni ufala, huku Kuna Enos, Kyalo, J Blessing, Wallace na ni wanoma) so atalipa ndege na album yake ama???? So don't expect many Godfather Campos videos huku any time soon.

Fact 2: Less play kwa stations, na hii mimi nakuwanga advocate (kwanza kama Kuna stations ulikuwa unaniona na sikuhizi haunioni, hao walicatch wale wananipa airplay Big Up but good Thing mafans wangu wako tight na Mimi kwa MA mathree na kejani zao, Hauwezi zima moto ya Mungu, aje??? Ha ha ha)

Fact 3: mafans unajua tunawapenda sana na sana, but Si twende concert za Wasanii wakenya pia vile sisi uenda za nje, vile Sauti Sol wako na album Si twende Supermarket tukabuy (ata mimi nijitete, niko na album nne niko itunes na hizo ma Mziiki na kadhalika ukitaka physical niko na jeshi yangu itakuletea) anyway we as artists are very thankful but let's show more support that's the only way we will get Nameless and Wyre walipwe 2 million, let's vote kwa wale wako nominated let's watch their links kwa youtube let's get entertained (na nyinyi pia Wasanii make more effort just alittle more, mdogo mdogo)

Fact 4: mimi kwanza ni fan mnoma sana wa Kenyan Music from tene sana and na msee aliniInspire was and still is Chiwawa (najua hii generation ya KuDab hamjui mtu kama huyu, well Google is your friend) anyway hizi ma MCSK, PRISK, CMO'S, PRSP get your act right tafadhali. Msanii anaingia studio anafanya kazi yake, wewe Si ufanye kazi yako. bado unataka atoke studio akuje demonstration bado unaexpect aishi kwa hao poa, bado tunaexpect aDrive gari nzuri ati hasipande mat, bado unaexpect aende SA, bado unaexpect amake statement aje. Ataenda studio saa ngapi na ataenda demonstration saa ngapi???

Anyway I am thankful to all the stations zinacheza more Kenyan (endeleni hivyo hivyo) All the Djs who push for more Kenyan (kwanza nyinyi hapo mnacheza role Kubwaaaaaaaa sana BIG UP , we appreciate, all the fans wale wameenda sahii kucheki album yangu iTunes na kama ushawai buy any Kenyan Music BIG UP, wale wote ubuy tiko za show na wanaenda manze nyinyi ni shujaa (wakireWrite history mnafaa muwekwe -my opinion), wale event organizers upush msanii apewe more money BIG up (sababu music is art and it's not even equivalent to that 2 million nasema, but gets the art growing) , kama uko na mix ya Kenyan kwa keja yako ama more songs za Kenya kwa simu yako BIG UP wewe ni shujaa.
All I am saying let's start by putting some RESPECT on our Legends akina Nameless, akina WYRE, (wale wanaPut in work) list ni Refu you know them. (mimi ntajitetea baadaye, but we have to start somewhere) na you can quote me.
Mafans wangu tuendele,
Back to regular programming, my new video is out 'Besha Shigana ' icheki youtube na uiDownload legally (hizo maTubidy na waptrick hazifikishi doh kwa msanii)
Ni hayo tu kwa sasa. Have a Beautiful day ata naenda studio.
‪#‎TheKing‬'sSpeech3

‪#‎Mistarillionaire‬ powered by GOD

Post a Comment

0 Comments