Bw. Ekuzi amefikisha pongezi zake kwa kutembea kwa miguu kwa takribani siku tano kutoka Mkoa wa Morogoro hadi katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma huku akiwa na bango lililoandikwa ujumbe wa kutoa pongezi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Dkt. Tulia Ackson.
Dkt. Tulia Ackson alichaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani Octoba 27/2023 huku akiwa ni Rais wa 31 na mwanamke pekee kuwahi kuchaguliwa Barani Afrika.
0 Comments