Muda mfupi baada ya kutolewa kwa taarifa kuhusu kifo cha mmoja wa waasisi wa Taifa na Waziri mastaafu, George Kahama, Rais John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia yake.
Hizi ndizo Njia 16 za Kuondoa Sumu Mbalimbali Mwilini...!!!
-
Mwili unaweza kupatwa na sumu au takataka zisizohitajika na mwili kwa namna
mbili, ama kupitia mazingira tunayoishi (viwanda, migodi nk) au kupitia
vy...
2 months ago